­
AKISI: February 2017
Breaking News
Loading...

ABDUL NONDO AICHAMBUA SIRI ILIYOPO UTATA WA KAMPUNI YA MINJINGU MINES NA COUNTY BUNGOMA

Mbunge wa serikali ya wanafunzi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 'Abdul NONDO' ametoa maoni yake kuhusu MINJINGU MINES AND FERTILIZER LTD VS BUNGOMA COUNTY GOVERNMENT FERTILIZERS kama ifuatavyo..'Sasa hivi kila mtu anajiuliza kwanini Mbolea ya minijingu inayozalishwa na minjingu mines and fertilizers LTD, iliyopo TANZANIA na huzalisha mbolea...

Read More...

UTAFITI: UGANDA NDIO NCHI YA KWANZA KUONGEA KIINGEREZA FASAHA BARANI AFRIKA

Uganda imetajwa kuwa nchi yenye raia wanaozungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha barani Afrika.Utafiti uliofanywa na shirika la lugha duniani World Linguistic Society umesema Uganda inaongoza ikifuatiwa na Zambia halafu Afrika Kusini ikiwa katika nafasi ya tatu na Kenya katika nafasi nne.Uganda imetajwa kuwa nchi yenye raia wanaozungumza...

Read More...

BREAKING: BARACK OBAMA KUGOMBEA URAIS WA UFARANSA TENA ?

Ombi la mtandao la kumtaka Barrack Obama kuwania urais katika uchaguzi mkuu nchini Ufaransa limewavutia takriban wafuasi 42,000.Mabango ya kampeni yanayosomeka ''Oui, on Peut'' ikimaanisha kauli mbiu ya kmpeni ya Obama ''Yes we can'' yametumika mjini Paris.Bwana Obama sio raia wa Ufaransa hivyobasi hawezi kugombea urais.Lakini wale wanaofanya...

Read More...

TUHUMA: 'OBAMA AMCHOKOA TRUMP KWA MAANDAMANO'

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini kuwa Barack Obama ndiye anahusika na maandamano dhidi ya uongozi wa Republican."Nafikiri Rais Obama anahusika kwa sababu ni watu wake wanaohusika kwenye maandamanohayo," Trump alikiambia kituo cha Fox News.Trump hakutoa ushahidi wowote kwa madai yake na Obama bado hajajibu lolote.Trump pia...

Read More...

NEWS: MTANDAO WA WANAFUNZI WAKAMILISHA KUJINOA KUPINGA MALIPO YA 15% YA MKOPO MAHAKAMANI

TAARIFA KUTOKA KWA LHRC na TSNP LHRC na TSNP tumekutana leo kujadili suala la malipo ya 15% kwa watanzania waliokopeshwa na bodi ya mikopo. Tumefanya majumuisho ya hoja za kisheria kwa wajumbe waliofika kikaoni na wale ambao wamewasilisha maoni yao kwa njia ya simu, barua pepe na jumbe za kawaida kutoka...

Read More...

MAPOKEZI YA AIRPORT: ALI KIBA 'MFALME RASMI' WA BONGO FLAVA atua na tuzo ya MTV EMA

Mashabiki wa muimbaji Alikiba wamejitokeza kwa wingi JK Nyerere Airport kumpokea mkali huyo wa Aje akitokea Afrika Kusini huku akiwa na tuzo yake na MTV EMA – Best African Act.Akiwa Afrika Kusini alifanya media tour pamoja na show katika kumbi mbalimbali nchini huyo.Muimbaji huyo aliiwambia waandishi wa habari...

Read More...

MAKAVU: T.I.D ''MNYAMA'' >> STEVE NYERERE NI ''PANYA'' TU KWANGU

Hivi karibuni, kwenye mazungumzo yaliyovuja kati yake na mama yake na Wema Sepetu, alidai kuwa hitmaker wa Siamini, TID alipewa fedha na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili atoe hotuba kuhusu kuwa mtumiaji wa dawa za kulevya.Mnyama alimind mbaya na kutishia kumshtaki mchekeshaji huyo. Na...

Read More...

Nicki Minaj amtaka Trey Songz akanushe tetesi kuwa waliwahi kulala pamoja…

Baada ya rapa Remy Ma kutoa diss kali kwa Nicki Minaj na kutaja majina ya mastaa tofauti, wengi wao wameanza kujitetea kuhusu tuhuma zao kwenye diss hio.Nicki alichotaka Trey afanye ni kusema JAMBO HILO HALIJAWAHI KUTOKEA na sio kujibu kwa mafumbo ili kuendeleza stori hio….Trey Songz anatajwa kwenye SHETHER kama...

Read More...

About me

Like us on Facebook

MICHEZO

Blog Archive