Breaking News
Loading...

Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.

Share on Google Plus

Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania

Image
Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.
Jumla ya wachimbaji 15 wa mgodi walikuwa ndani ya mgodi huo akiwemo raia mmoja wa China wakati uliporomoka. 

You Might Also Like

0 comments

About me

Like us on Facebook

MICHEZO