Breaking News
Loading...

Kiongozi wa makampini ya SAMSUNG ashikiliwa kwa ubadhirifu nchini KOREA KUSINI

Share on Google Plus

Waendesha mashitaka nchini KOREA KUSINI wanamshikilia kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG kwa tuhuma za kuhusika na ubadhirifu fedha za serikali kupitia kwa rafiki wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo PARK GEUN-HYE.
Kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG, JAY Y LEE

Waendesha  mashitaka nchini KOREA KUSINI wanamshikilia kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG kwa tuhuma za kuhusika na ubadhirifu fedha za serikali kupitia kwa rafiki wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo PARK GEUN-HYE.

Wachunguzi hao walimhoji  JAY Y LEE kwa saa 22 wiki iliyopita baada ya  kufahamika kwamba kampuni hiyo ina kashfa ya rushwa.

Waandesha mashitaka hao wanamtuhuma LEE kwa kumlipa  CHOI SOON SIL rafiki wa rais wa KOREA KUSINI, PARK dolla  Bilioni 43 katika mazingira ya rushwa.

You Might Also Like

0 comments

About me

Like us on Facebook

MICHEZO