­
AKISI: January 2017
Breaking News
Loading...

Schulz kupigania usawa UJERUMANI

 Rais wa zamani wa bunge Ulaya Martin Schulz ameteuliwa kukiongoza chama cha Social Demokratik katika jaribio lao la kumuondowa madarakani Kansela Angela Merkel na amesema atapigania kuwapo kwa usawa zaidi na kuondokana na mgawanyiko nchini Ujerumani.Schulz ameuambia umma wa zaidi ya watu 1,000 katika makao makuu ya chama...

Read More...

TRENI YA DELUXE YAPATA AJALI,HAKUNA VIFO VILIVYORIPOTIWA

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umetoa taarifa kuwa leo  Januari 29, 2017 mnamo  saa 9:40alasiri treni ya abiria ya Deluxe ilipokuwa ikirejea Dar es Salaam kutokaKigoma imepata ajali kati ya vituo vya Ruvu na Ngeta ambapo mabehewa9 yamepata ajali . Kati ya hayo manne yameanguka, mawili yametenguka...

Read More...

Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani

Hatua ya rais Donald Trump kuwazuia wahamiaji Waislamu kuingia nchini humo inaendelea kulaani na kukoslewa kote duniani na Marekani kwenywe.Taasisi mbali mbali za kimataifa zimeitaja hatua hiyo ya Trump ya kuwazui Waislamu kutoka baadhi ya nchi kuingia Marekani ni ubaguzi wa rangi na dhidi ya ubinadmau.Katika taarifa, Shirika...

Read More...

Ice prince ft Vannesa mdee collable nyingine vanessa mdee kufanya maajabu kimataifa

Bonyeza video kuitazama hit song hii ...

Read More...

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA KUTANGAZA JINA RASMI LA KITUO CHA AMANI NA USALAMA KILICHOPEWA JINA LA MWALIMU JULIUS NYERERE KATIKA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA AFRICA (AU) ADDIS ABABA NCHINI ETHIOPIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta pamoja na viongozi wamataifa mabalimbali wakiwa katika picha ya pamoja katika jengo jipya la kituocha  Amani na Usalama (JULIUS NYERERE) lililopokatika Makao makuu ya Umoja wa Afrika Addis Ababa nchini Ethiopia.  Rais...

Read More...

Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.

Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa TanzaniaImageWafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa TanzaniaWachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.Jumla ya wachimbaji 15 wa mgodi walikuwa ndani ya mgodi huo akiwemo raia mmoja wa China wakati uliporomoka.  ...

Read More...

Kiongozi wa makampini ya SAMSUNG ashikiliwa kwa ubadhirifu nchini KOREA KUSINI

Waendesha mashitaka nchini KOREA KUSINI wanamshikilia kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG kwa tuhuma za kuhusika na ubadhirifu fedha za serikali kupitia kwa rafiki wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo PARK GEUN-HYE.Kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG, JAY Y LEEWaendesha  mashitaka nchini KOREA KUSINI wanamshikilia kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG...

Read More...

Utafiti waonyesha wakulima 70% hawana elimu ya kuzalisha

Utafiti uliofanywa na taasisi ya ushauri elekezi ya MOSHAK CONSULTANT ya mjini UNGUJA umeonyesha kuwa takriban asilimia 70 ya wakulima na wajasiriamali wadogo hawanaelimu ya uzalishaji na masoko.Utafiti uliofanywa na taasisi ya ushauri elekezi ya MOSHAK CONSULTANT ya mjini UNGUJA umeonyesha kuwa takriban asilimia 70 ya wakulima na...

Read More...

Wakimbizi 50 wameuawa katika shambulizi la bahati mbaya nchini NIGERIA

Kikosi cha Jeshi la anga cha nchini NIGERIA kimeua kwa bahati mbaya zaidi ya wakimbizi 50 na wafanyakazi wa kutoa msaada wakati wa operesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la BOKO HARAM.Shambulio hilo la bahati mbaya limesababisha vifo vya baadhi ya wakimbizi na wafanyakazi wa Shirika la kutoa...

Read More...

Taasisi ya Moyo ya JAKAYA KIKWETE yafanikisha upasuaji wa moyo kwa wagonjwa 6 bila kutumia mashine.

Taasisi ya Moyo ya JAKAYA KIKWETE iliyopo Jijini Dar es salaam ikishirikiana na timu ya wataalamu kutoka hospitali ya APOLLO ya nchini INDIA imefanikiwa kufanya upasuaji kwa wagonjwa wa moyo sita bila kutumia mashine ya mapafu na moyo.Daktari wa Taasisi ya Jakaya Kikwete,JKCI, Bashiru Nyangasa katikati akizungumza na...

Read More...

Ujenzi wa wodi mpya katika hospitali ya MAWENZI waepusha magonjwa ya mlipuko kwa watoto.

Watoto wanaolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa KILIMANJARO MAWENZI wameondokana na tatizo la kupata magonjwa ya milipuko kutokana na msongamano waliokuwa nao katika jengo la kulazia watotommoja wa akina mama akimuuguza mwanae akiwa wodiniWatoto wanaolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa KILIMANJARO MAWENZI wameondokana na...

Read More...

About me

Like us on Facebook

MICHEZO