Rais wa zamani wa bunge Ulaya Martin Schulz ameteuliwa kukiongoza chama cha Social Demokratik katika jaribio lao la kumuondowa madarakani Kansela Angela Merkel na amesema atapigania kuwapo kwa usawa zaidi na kuondokana na mgawanyiko nchini Ujerumani.Schulz ameuambia umma wa zaidi ya watu 1,000 katika makao makuu ya chama...
Read More...Popular Posts
-
Uvaaji wa cheni au shanga kiononi kwa wanawake ni aina ya utamaduni ambao umekuwa ukipendwa sana na wanawake hasa wa pwani tangu miongo ming...
-
Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha m...
-
SABABU ZA MWANAMKE KUSIKIA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA/KUKOSA HAMU YA KUFANYA MAPENZI /KUTOKUFIKA KILELENI Habari za leo ndug...
Powered by Blogger.
Social Counter
My Blog List
Comments
Social Share
Recent in Sports
.

..

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umetoa taarifa kuwa leo Januari 29, 2017 mnamo saa 9:40alasiri treni ya abiria ya Deluxe ilipokuwa ikirejea Dar es Salaam kutokaKigoma imepata ajali kati ya vituo vya Ruvu na Ngeta ambapo mabehewa9 yamepata ajali . Kati ya hayo manne yameanguka, mawili yametenguka...
Read More...
KIMATAIFA
Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani
January 29, 2017 ibra 0 Comments Hatua ya rais Donald Trump kuwazuia wahamiaji Waislamu kuingia nchini humo inaendelea kulaani na kukoslewa kote duniani na Marekani kwenywe.Taasisi mbali mbali za kimataifa zimeitaja hatua hiyo ya Trump ya kuwazui Waislamu kutoka baadhi ya nchi kuingia Marekani ni ubaguzi wa rangi na dhidi ya ubinadmau.Katika taarifa, Shirika...
Read More...
BURUDANI
Ice prince ft Vannesa mdee collable nyingine vanessa mdee kufanya maajabu kimataifa
January 29, 2017 ibra 0 Comments
KITAIFA
RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA KUTANGAZA JINA RASMI LA KITUO CHA AMANI NA USALAMA KILICHOPEWA JINA LA MWALIMU JULIUS NYERERE KATIKA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA AFRICA (AU) ADDIS ABABA NCHINI ETHIOPIA
January 29, 2017 ibra 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta pamoja na viongozi wamataifa mabalimbali wakiwa katika picha ya pamoja katika jengo jipya la kituocha Amani na Usalama (JULIUS NYERERE) lililopokatika Makao makuu ya Umoja wa Afrika Addis Ababa nchini Ethiopia. Rais...
Read More...
KITAIFA
Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.
January 29, 2017 ibra 0 Comments Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa TanzaniaImageWafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa TanzaniaWachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.Jumla ya wachimbaji 15 wa mgodi walikuwa ndani ya mgodi huo akiwemo raia mmoja wa China wakati uliporomoka. ...
Read More...
KIMATAIFA
Kiongozi wa makampini ya SAMSUNG ashikiliwa kwa ubadhirifu nchini KOREA KUSINI
January 18, 2017 ibra 0 Comments Waendesha mashitaka nchini KOREA KUSINI wanamshikilia kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG kwa tuhuma za kuhusika na ubadhirifu fedha za serikali kupitia kwa rafiki wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo PARK GEUN-HYE.Kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG, JAY Y LEEWaendesha mashitaka nchini KOREA KUSINI wanamshikilia kiongozi wa makampuni ya SAMSUNG...
Read More... Utafiti uliofanywa na taasisi ya ushauri elekezi ya MOSHAK CONSULTANT ya mjini UNGUJA umeonyesha kuwa takriban asilimia 70 ya wakulima na wajasiriamali wadogo hawanaelimu ya uzalishaji na masoko.Utafiti uliofanywa na taasisi ya ushauri elekezi ya MOSHAK CONSULTANT ya mjini UNGUJA umeonyesha kuwa takriban asilimia 70 ya wakulima na...
Read More...Wakimbizi 50 wameuawa katika shambulizi la bahati mbaya nchini NIGERIA
January 18, 2017 ibra 1 Comments Kikosi cha Jeshi la anga cha nchini NIGERIA kimeua kwa bahati mbaya zaidi ya wakimbizi 50 na wafanyakazi wa kutoa msaada wakati wa operesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la BOKO HARAM.Shambulio hilo la bahati mbaya limesababisha vifo vya baadhi ya wakimbizi na wafanyakazi wa Shirika la kutoa...
Read More...
KITAIFA
Taasisi ya Moyo ya JAKAYA KIKWETE yafanikisha upasuaji wa moyo kwa wagonjwa 6 bila kutumia mashine.
January 18, 2017 ibra 0 Comments Taasisi ya Moyo ya JAKAYA KIKWETE iliyopo Jijini Dar es salaam ikishirikiana na timu ya wataalamu kutoka hospitali ya APOLLO ya nchini INDIA imefanikiwa kufanya upasuaji kwa wagonjwa wa moyo sita bila kutumia mashine ya mapafu na moyo.Daktari wa Taasisi ya Jakaya Kikwete,JKCI, Bashiru Nyangasa katikati akizungumza na...
Read More...
KITAIFA
Ujenzi wa wodi mpya katika hospitali ya MAWENZI waepusha magonjwa ya mlipuko kwa watoto.
January 18, 2017 ibra 0 Comments Watoto wanaolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa KILIMANJARO MAWENZI wameondokana na tatizo la kupata magonjwa ya milipuko kutokana na msongamano waliokuwa nao katika jengo la kulazia watotommoja wa akina mama akimuuguza mwanae akiwa wodiniWatoto wanaolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa KILIMANJARO MAWENZI wameondokana na...
Read More...