Popular Posts
-
Uvaaji wa cheni au shanga kiononi kwa wanawake ni aina ya utamaduni ambao umekuwa ukipendwa sana na wanawake hasa wa pwani tangu miongo ming...
-
Miaka ya hivi karibuni kua na makalio makubwa imekua ni fasheni muhimu sana kiasi kwamba wanawake wasio na makalio makubwa wamejikuta wakipa...
-
Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha m...
Powered by Blogger.
Social Counter
My Blog List
Comments
Social Share
Recent in Sports
.
..
KITAIFA
JENGO LA GHOROFA NNE UDOM LA POROMOKA WANAFUNZI WAKIWA KWENYE MTIHANI
February 03, 2017 ibra 0 Comments
Mapema leo hii, jengo la madarasa ya wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma UDOM limeporomoka na hadi sasa hakuna taarifa za kujerujiwa ama kifo chochote katika tukio hilo.
Mmoja wa mashuhuda ameimbia blog hii kuwa tukio hilo lilitokea majira ya asubuhi, wakati wanafunzi wakiwa tayari kwa ajili ya mtihani. Aidha ripot zaidi zinaeleza kuwa hali hiyo ilitokea kukiwa hakuna mvua ama radi katika maeneo hayo.
Chama kinachotalawa nchini ZIMBABWE Zanu-pf kimeanza kuchangia pesa kwa sherehe ya siku ya kuzaliwa ya Robert Mugabe ambayo anatimiza miaka 93
Raisi John pombe magufuli amerejea Leo kutoka adiss Ababa Ethiopia alikokuwa akihudhuria mkutano wa umoja wa afrika AU. Raisi Magufuli amelakiwa na makamu wa Raisi mhe samia suluhu hassan na viongozi wengine Mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa Julius nyerere jijini DAR ES SALAAM





